habari24.co.tz
0
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
habari24.co.tz
habari24.co.tz
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
Home » Archives for 2024 » Page 18

Year: 2024

Nchi za Magharibi zinatafuta mbadala wa Zelensky - Ujasusi wa Urusi
HABARI ZA KIMATAIFA

Nchi za Magharibi zinatafuta mbadala wa Zelensky – Ujasusi wa Urusi

Wafuasi wa nchi za Magharibi wa Ukraine wameongeza juhudi za kumtafuta mtu atakayechukua nafasi ya Vladimir Zelensky, mfanyakazi wa Idara ya Ujasusi ya Kigeni ya Urusi (SVR) amedai katika ripoti iliyofichwa. Hati hiyo ilichapishwa katika toleo la hivi punde la ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com July 12, 2024 July 12, 2024
Waafrika wanaunga mkono Urusi
HABARI ZA KIMATAIFA

Waafrika wanaunga mkono Urusi – Borrell kiongozi wa EU

Mwanadiplomasia mkuu wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell  ameeleza kushangazwa na kiwango cha juu cha uungwaji mkono wa Rais wa Urusi Vladimir Putin na miongoni mwa watu barani Afrika. "Barani Afrika, watu wanamuunga mkono Putin. Wanasema Putin alimuokoa Donbass,” Josep ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com July 12, 2024 July 12, 2024
Japan yaipa Tanzania msaada wa Tsh Bilioni 8.9 kwa ajili ya mradi wa ukarabati wa Bandari ya Kigoma
HABARI ZA KITAIFA

Japan yaipa Tanzania msaada wa Tsh Bilioni 8.9 kwa ajili ya mradi wa ukarabati wa Bandari ya Kigoma

Tanzania imepokea msaada wa nyongeza wa Yen za Japan milioni 548 sawa na shilingi bilioni 8.9 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ukarabati wa Bandari ya Kigoma baada ya marekebisho ya mikataba miwili ya msaada kati ya Tanzania, Shirika ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com July 12, 2024 July 12, 2024
Yanga yanasa Saini ya kiungo Duke Abuya raia wa Kenya
MICHEZO

Usajili Yanga 2024: Yanga yanasa Saini ya kiungo Duke Abuya raia wa Kenya

MASHINE ya Kusaga na Kukoboa Duke Abuya raia wa Kenya ambaye ni kiungo aliyekuwa ndani ya Singida Black Stars atakuwa kwenye anga la kimataifa na uzi wa kijani na njano katika kikosi cha Miguel Gamondi Yanga. Yanga chini ya Kocha ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com July 12, 2024 July 12, 2024
HABARI ZA KIMATAIFA

Rais Putin akutana na Spika wa Bunge la Tanzania

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesisitiza umuhimu wa ushirikiano baina ya mabunge ya kimataifa katika kusaidia kukabiliana na changamoto za kimataifa. Kiongozi huyo wa Urusi alitoa maoni hayo katika mkutano wake na Tulia Akson, rais wa Muungano wa Mabunge ya ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com July 12, 2024 July 12, 2024
Akamatwa kwa kumuua rafiki yake kisha kumpora Milioni 61
HABARI ZA KITAIFA

Akamatwa kwa kumuua rafiki yake kisha kumpora Milioni 61

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linaendelea kusimamia mkakati wake maalum wa kuzuia vitendo vyote vya kihalifu katika jiji la Dar es Salaam. Tarehe 28 Juni 2024 lilimkamata na kumuhoji kwa kina Mussa Khamis Bakari buda (30) ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com July 12, 2024 July 12, 2024
Biden amchanganya Zelensky na Putin (VIDEO)
HABARI ZA KIMATAIFA

Biden amchanganya Zelensky na Putin (VIDEO)

Rais wa Marekani Joe Biden amemchanganya kiongozi wa Ukraine Vladimir Zelensky na Rais wa Urusi Vladimir Putin, katika dosari ya aibu ambayo itaongeza uchunguzi juu ya hali ya akili ya Biden. Tukio hilo lilitokea Washington siku ya Alhamisi, wakati Biden ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com July 12, 2024 July 12, 2024
1 … 17 18
  • Tanzania yajitetea mbele Umoja wa Mataifa kuhusu matukio ya utekwaji
  • Wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi – Jeshi la Polisi
  • Serikali yalifuta Kanisa la Askofu Gwajima – Mwananchi
  • Agather (mwanaharakati wa Uganda) apatikana mpakani mwa Tanzania na Uganda
  • Wanaharakati Kenya Wakiongozwa na Martha Karua Waandikia Barua Umoja wa Afrika Wakidai Hatua Ichukuliwe Dhidi ya Rais Samia Suluhu wa Tanzania – Kenyans
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO

© 2025 habari24. All Rights Reserved.