Papa Leo XIV amekosoa “ukoloni” wa rasilimali za madini za Afrika katika hotuba aliyotoa nchini Guinea ya Ikweta, moja ya wazalishaji wakubwa wa mafuta barani humo, ambapo karibu nusu ya wananchi bado wanaishi katika umaskini. Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili katika taifa hilo la Afrika ya Kati Jumanne kwa hatua ya mwisho ya ziara yake ya siku 11 barani ...

















