Afghanistan imeishutumu Pakistan kwa kufanya shambulio la anga kwenye kituo cha urekebishaji wa waraibu wa dawa za kulevya mjini Kabul, ambalo maafisa wa Taliban walisema limesababisha vifo vya watu wasiopungua 400. Pakistan imekuwa ikishambulia kile inachodai ni kambi za kigaidi nchini Afghanistan tangu Februari, ikiishutumu serikali ya Taliban kwa kuunga mkono mashambulizi ndani ya ardhi ya Pakistan. Taliban imekanusha kuhusika ...
















