Arsenal & Manchester City EPL Fixture zimekuwa mjadala mkubwa katika mbio za ubingwa England. Hii ni baada ya jana April 19, 2026 Manchester City kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 vs Arsenal. Ushindi huu sasa umepunguza pengo la alama kileleni, ambapo sasa City wako nyuma kwa pointi 3 tu, huku wakiwa na mchezo mmoja mkononi. Mjadala mkubwa sasa ni juu ...

















