Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Zungu amemuonya Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado @adoshaibuado kwa kitendo chake cha kuendelea kuzungumza baada ya Mwenyekiti wa Bunge kumjulisha kuwa muda wake umeisha na kuzimiwa kipaza sauti. Spika amemuonya pia Ado kwa kitendo chake cha kurejea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) ya ...

















