Joe Kent, mkuu wa Kituo cha Taifa cha Kupambana na Ugaidi cha Marekani, amejiuzulu kupinga vita vya Washington dhidi ya Iran, akisema kuwa Israel imeivuta Marekani katika mzozo mwingine “usio na mwisho” ambao hauhudumii maslahi ya Marekani. Kent, aliyekuwa afisa wa kijeshi na pia aliwahi kufanya kazi katika CIA, aliteuliwa na Rais wa Marekani Donald Trump kushika wadhifa huo Februari ...
















