πŸ† Timu Zilizofuzu Nusu Fainali Klabu Bingwa UEFA 2024/2025 Msimu wa UEFA Champions League 2024/2025 umeleta msisimko wa hali ya juu, mechi kali, na mshangao mkubwa kutoka kwa vilabu vikubwa barani Ulaya. Mashabiki wengi duniani wana hamu ya kujua: ni ...

🦁 Simba SC vs Stellenbosch FC: Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika – Yote Unayohitaji Kujua (20 Aprili 2025) Karibu kwenye muhtasari kamili wa mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba SC na Stellenbosch ...

πŸ”₯ Yanga SC vs Stand United: Robo Fainali ya Kombe la CRDB Bank – Aprili 15, 2025 Leo Jumanne, Aprili 15, 2025, macho yote yatakuwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam, ambapo Young Africans SC (Yanga SC) watachuana ...

Hizi apa Timu zilizofuzu robo fainali klabu bingwa Afrika CAF 2024/2025, Β Klabu nane zilizofuzu katika hatua ya robo fainali kuwania taji la klabu bingwa barani Afrika. Hatua hii inakuja baada ya kumalizika kwa michuano ya hatua ya makundi siku ya ...

Makundi ya Klabu Bingwa Africa 2024/2025 CAFCL, Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika, limetangaza makundi ya Klabu Bingwa Afrika (CAF Champions League) kwa msimu wa 2024/2025. Hafla hiyo iliyosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka barani kote, imefanyika jijini ...

Makundi ya shirikisho 2024 CAF, Shirikisho la mpira wa miguu Barani Afrika (CAF), limetangaza rasmi makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) kwa msimu wa 2024/2025, baada ya droo iliyofanyika jijini Cairo, Misri. Droo hii iliyosubiriwa kwa hamu ...