Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Volker Türk ametaka uchunguzi juu ya mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa wakati wa uchaguzi wa Oktoba 29 nchini Tanzania, huku ripoti zikiibuka kwamba miili inachukuliwa na vikosi ...
Ligi Kuu Tanzania Bara inarejea wikiendi hii. Sababu kubwa ya ligi kusitishwa kwa muda ilikuwa ni changamoto za kiuendeshaji zilizotokana na sababu za kiusalama na miongozo yake ni kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa na Idara ya Habari na Mawasiliano ...
🏛️ Tangazo la Ajira Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania – Novemba 2025 Tarehe ya Tangazo: 5 Novemba 2025 Idadi ya Nafasi za Kazi: 28 Mwajiri: Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chanzo: www.assengaonline.com Bunge la ...
Serikali ya Cameroon imetangaza kuwa itamchukulia hatua za kisheria kiongozi wa upinzani Issa Tchiroma Bakary kwa madai ya kuchochea machafuko kufuatia kuchaguliwa tena kwa kiongozi wa muda mrefu wa nchi hiyo ya Afrika ya Kati, Paul Biya. Jumatatu, Biya mwenye ...
Waandamanaji katika maeneo mbalimbali ya Madagascar wanataka Rais Andry Rajoelina ajiuzulu, wakimtuhumu serikali yake kwa usimamizi mbovu na kushindwa kutoa huduma za msingi, ikiwemo maji na umeme. Maelfu ya watu walikusanyika tena Jumatano chini ya mwavuli wa vijana wanaojiita ...
Serikali ya Tanzania imeijibu ripoti ya Shirika la Kimataifa la Uangalizi wa Haki za Binadamu (HRW) juu ya ukiukwaji wa haki za kiraia kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, ikisema ni ya upotoshaji na uongo. ...
Tanzania, kupitia moja ya taasisi kubwa za kifedha nchini, imezindua kadi mpya ya biashara ya malipo (debit card) ambayo itawawezesha wamiliki wake kulipwa fidia za kifedha endapo kutatokea changamoto katika safari zao. Hii inahusisha ucheleweshaji wa ndege, mizigo kupotea au ...
Seikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kulinda na kuendeleza haki za binadamu, utawala bora na utawala wa sheria kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2025. Kauli hiyo imetolewa na Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Ofisi ...
Jeshi la Polisi Tanzania limeeleza kuwa sehemu kubwa ya matukio ya watu kuripotiwa kupotea au kutekwa nchini humo hayahusiani na vitendo halisi vya utekaji, bali yamesababishwa na sababu za kibinafsi kama mapenzi, migogoro ya kifamilia, imani za kishirikina na ukwepaji ...
Dar es Salaam. Serikali imetangaza kulifutia usajili Kanisa la Ufufuo na Uzima, linalomilikiwa na Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, ikiwa ni siku moja tangu kiongozi huyo wa kiroho atangaze msimamo wake wa kuendelea kukemea vitendo vya utekaji na watu ...









