Mahakama ya Kenya imesitisha utekelezaji wa makubaliano ya msaada wa afya yenye thamani ya $2.5bn (£1.9bn) yaliyosainiwa na Marekani wiki iliyopita kutokana na wasiwasi kuhusu faragha ya data. Hatua hiyo inafuatia kesi iliyowasilishwa na shirika la kutetea haki za watumiaji ...