habari24.co.tz
0
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
habari24.co.tz
habari24.co.tz
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
assengablogtz@gmail.com

assengablogtz@gmail.com

Yanga yanasa Saini ya kiungo Duke Abuya raia wa Kenya
MICHEZO

Usajili Yanga 2024: Yanga yanasa Saini ya kiungo Duke Abuya raia wa Kenya

MASHINE ya Kusaga na Kukoboa Duke Abuya raia wa Kenya ambaye ni kiungo aliyekuwa ndani ya Singida Black Stars atakuwa kwenye anga la kimataifa na uzi wa kijani na njano katika kikosi cha Miguel Gamondi Yanga. Yanga chini ya Kocha ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com July 12, 2024 July 12, 2024
HABARI ZA KIMATAIFA

Rais Putin akutana na Spika wa Bunge la Tanzania

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesisitiza umuhimu wa ushirikiano baina ya mabunge ya kimataifa katika kusaidia kukabiliana na changamoto za kimataifa. Kiongozi huyo wa Urusi alitoa maoni hayo katika mkutano wake na Tulia Akson, rais wa Muungano wa Mabunge ya ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com July 12, 2024 July 12, 2024
Akamatwa kwa kumuua rafiki yake kisha kumpora Milioni 61
HABARI ZA KITAIFA

Akamatwa kwa kumuua rafiki yake kisha kumpora Milioni 61

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linaendelea kusimamia mkakati wake maalum wa kuzuia vitendo vyote vya kihalifu katika jiji la Dar es Salaam. Tarehe 28 Juni 2024 lilimkamata na kumuhoji kwa kina Mussa Khamis Bakari buda (30) ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com July 12, 2024 July 12, 2024
Biden amchanganya Zelensky na Putin (VIDEO)
HABARI ZA KIMATAIFA

Biden amchanganya Zelensky na Putin (VIDEO)

Rais wa Marekani Joe Biden amemchanganya kiongozi wa Ukraine Vladimir Zelensky na Rais wa Urusi Vladimir Putin, katika dosari ya aibu ambayo itaongeza uchunguzi juu ya hali ya akili ya Biden. Tukio hilo lilitokea Washington siku ya Alhamisi, wakati Biden ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com July 12, 2024 July 12, 2024
1 … 24 25
  • Serikali yalifuta Kanisa la Askofu Gwajima – Mwananchi
  • Agather (mwanaharakati wa Uganda) apatikana mpakani mwa Tanzania na Uganda
  • Wanaharakati Kenya Wakiongozwa na Martha Karua Waandikia Barua Umoja wa Afrika Wakidai Hatua Ichukuliwe Dhidi ya Rais Samia Suluhu wa Tanzania – Kenyans
  • 📢 HESLB Yatangaza Upangaji Mikopo Kwa Wanafunzi wa Stashahada Mwezi Machi 2025 – Fahamu Kila Kitu!
  • Mchome wa CHADEMA avuliwa uongozi Chadema – Mwananchi Newspapers
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO

© 2025 habari24. All Rights Reserved.