MASHINE ya Kusaga na Kukoboa Duke Abuya raia wa Kenya ambaye ni kiungo aliyekuwa ndani ya Singida Black Stars atakuwa kwenye anga la kimataifa na uzi wa kijani na njano katika kikosi cha Miguel Gamondi Yanga. Yanga chini ya Kocha ...
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesisitiza umuhimu wa ushirikiano baina ya mabunge ya kimataifa katika kusaidia kukabiliana na changamoto za kimataifa. Kiongozi huyo wa Urusi alitoa maoni hayo katika mkutano wake na Tulia Akson, rais wa Muungano wa Mabunge ya ...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linaendelea kusimamia mkakati wake maalum wa kuzuia vitendo vyote vya kihalifu katika jiji la Dar es Salaam. Tarehe 28 Juni 2024 lilimkamata na kumuhoji kwa kina Mussa Khamis Bakari buda (30) ...
Rais wa Marekani Joe Biden amemchanganya kiongozi wa Ukraine Vladimir Zelensky na Rais wa Urusi Vladimir Putin, katika dosari ya aibu ambayo itaongeza uchunguzi juu ya hali ya akili ya Biden. Tukio hilo lilitokea Washington siku ya Alhamisi, wakati Biden ...