habari24.co.tz
0
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
habari24.co.tz
habari24.co.tz
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
Home » HABARI ZA KIMATAIFA » ISRAEL & HAMAS

ISRAEL & HAMAS

Israel Yaendelea na Mashambulizi ya Anga Gaza Baada ya Mazungumzo na Hamas Kuvunjika
HABARI ZA KIMATAIFAISRAEL & HAMAS

Israel Yaendelea na Mashambulizi ya Anga Gaza Baada ya Mazungumzo na Hamas Kuvunjika

Israel Yaendelea na Mashambulizi ya Anga Gaza Baada ya Mazungumzo na Hamas Kuvunjika Israel imeanzisha tena mashambulizi ya anga katika Ukanda wa Gaza baada ya kushindwa kufikia makubaliano na Hamas kuhusu kuachiliwa kwa mateka waliobaki na utekelezaji wa makubaliano ya ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com March 18, 2025 March 18, 2025
Uingereza yaashiria kumkamata Netanyahu
HABARI ZA KIMATAIFAISRAEL & HAMAS

Uingereza yaashiria kumkamata Netanyahu

Uingereza itaheshimu zaidi hati ya kukamatwa kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ikiwa angekuja kuzuru, msemaji wa 10 Downing Street amesema. Mahakama ya ICC yenye makao yake mjini The Hague Uholanzi ilitangaza ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com November 23, 2024 November 23, 2024
Hiki ndo Kilichompoza Sinwar: Kiongozi wa Hamas alikataa ombi la Waarabu kutoroka Gaza- WSJ
HABARI ZA KIMATAIFAISRAEL & HAMAS

Hiki ndo Kilichompoza Sinwar: Kiongozi wa Hamas alikataa ombi la Waarabu kutoroka Gaza- WSJ

Kiongozi wa Kundi la Hamas alieuwawa Yahya Sinwar, alikataa fursa ya kutoroka na kuondoka Ukanda wa Gaza, kwa kubadilishana na kuruhusu Misri kufanya mazungumzo ya makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza badala ya Hamas, jarida hilo la Wall Street Journal liliripoti ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com October 21, 2024 October 21, 2024
Milipuko mipya imesikika Lebanon huku Israel ikiapa kushambulia benki za Hezbollah
HABARI ZA KIMATAIFAISRAEL & HAMAS

Milipuko mipya imesikika Lebanon huku Israel ikiapa kushambulia benki za Hezbollah

Israel imefanya mashambulizi zaidi ya anga huko Beirut na kusini mwa Lebanon, ikiwa ni pamoja na matawi ya benki ambayo inasema inaunga mkono Hezbollah. Milipuko ilisikika katika wilaya ya Dahieh ya Beirut kusini, eneo linalodhibitiwa na Hezbollah, pamoja na Bonde ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com October 21, 2024 October 21, 2024
HABARI ZA KIMATAIFAISRAEL & HAMAS

Marekani yatishia Israel: Tatua mzozo wa kibinadamu huko Gaza au ukabiliane na vikwazo vya silaha – ripoti

Marekani imeamibia Israel kwamba itawekea vikwazo vya silaha kwa taifa hilo la Kiyahudi ikiwa haitasuluhisha mzozo wa kibinadamu huko Gaza, N12 iliripoti Jumanne. Ikulu ya White House iliripotiwa kuelezea wasiwasi wake mkubwa juu ya "kuzorota kwa hali ya kibinadamu huko ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com October 15, 2024 October 15, 2024
Israel yashambulia maeneo 40 ya urushaji makombora Lebanon
HABARI ZA KIMATAIFAISRAEL & HAMAS

Israel yashambulia maeneo 40 ya urushaji makombora Lebanon

Israel yashambulia maeneo 40 ya urushaji makombora Lebanon Hezbollah ilisema ilifyatua maroketi 320 chapa ya Katyusa kuelekea Israel na kupiga shabaha 11 za kijeshi katika kile ilichokiita awamu ya kwanza ya kisasi dhidi ya Israel kwa mauaji ya Fuad Shukur, ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com August 26, 2024 August 26, 2024
  • Serikali yalifuta Kanisa la Askofu Gwajima – Mwananchi
  • Agather (mwanaharakati wa Uganda) apatikana mpakani mwa Tanzania na Uganda
  • Wanaharakati Kenya Wakiongozwa na Martha Karua Waandikia Barua Umoja wa Afrika Wakidai Hatua Ichukuliwe Dhidi ya Rais Samia Suluhu wa Tanzania – Kenyans
  • 📢 HESLB Yatangaza Upangaji Mikopo Kwa Wanafunzi wa Stashahada Mwezi Machi 2025 – Fahamu Kila Kitu!
  • Mchome wa CHADEMA avuliwa uongozi Chadema – Mwananchi Newspapers
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO

© 2025 habari24. All Rights Reserved.