Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema anajiandaa kuwasilisha pendekezo maalum kwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ptof. Adolf Mkenda akitaka kuimarishwa kwa mafunzo ya maadili kwa Vijana ili kupunguza tabia ya kutukana mitandaoni. Chalamila ametoa ...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche, amewasili mkoani Iringa kutoa pole kwa familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) Mkoa wa Iringa, Ibrahimu Myovela, pamoja na familia za wenzake wawili ...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika amesema chama hicho kimepata hasara ya shilingi milioni 918 kutokana na kesi ya mgawanyo wa rasilimali. Mnyika ameyasema hayo leo Juni 15, 2026 katika viunga vya Mahakama Kuu ya ...
The June to August 2026 season will bring colder-than-usual conditions in July, occasional off-season rains in some regions and strong winds along parts of the Indian Ocean coastline, according to the latest outlook released by Tanzania Meteorological Authority. The authority ...
Tanzania-based Amsons Group is reportedly in advanced talks to acquire Oryx Energies in a deal estimated to be worth $250 million (over 650 billion Tanzanian shillings), according to a report from Geneva, Switzerland. Industry experts claim that the acquisition, ...
Tanzania na Kenya zimechukua hatua kubwa kuelekea kuimarisha ushirikiano wa kikanda baada ya kusaini makubaliano mapya yenye lengo la kuimarisha usalama wa nishati, kupanua biashara ya umeme, na kuchunguza uwezekano wa kujenga bomba la kimkakati la gesi asilia kati ya ...
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Zungu amemuonya Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado @adoshaibuado kwa kitendo chake cha kuendelea kuzungumza baada ya Mwenyekiti wa Bunge kumjulisha kuwa muda wake umeisha na kuzimiwa kipaza sauti. ...
Mbunge wa viti maalumu aliyekuwa akiwakilisha kundi la Wafanyakazi wa Sekta binafsi na Umma, Halima Idd amefariki dunia leo Jumapili, Januari 18, 2026 akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, jijini Dar es Salaam. ...
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Volker Türk ametaka uchunguzi juu ya mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa wakati wa uchaguzi wa Oktoba 29 nchini Tanzania, huku ripoti zikiibuka kwamba miili inachukuliwa na vikosi ...
Serikali ya Tanzania imeijibu ripoti ya Shirika la Kimataifa la Uangalizi wa Haki za Binadamu (HRW) juu ya ukiukwaji wa haki za kiraia kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, ikisema ni ya upotoshaji na uongo. ...









