habari24.co.tz
0
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
habari24.co.tz
habari24.co.tz
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
Home » HABARI ZA KITAIFA

HABARI ZA KITAIFA

Seikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kulinda na kuendeleza haki za binadamu, utawala bora na utawala wa sheria kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2025. 
HABARI ZA KITAIFA

Tanzania yajitetea mbele Umoja wa Mataifa kuhusu matukio ya utekwaji

Seikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kulinda na kuendeleza haki za binadamu, utawala bora na utawala wa sheria kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2025. Kauli hiyo imetolewa na Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Ofisi ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com June 18, 2025 June 18, 2025
Wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi - Jeshi la Polisi
HABARI ZA KITAIFA

Wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi – Jeshi la Polisi

Jeshi la Polisi Tanzania limeeleza kuwa sehemu kubwa ya matukio ya watu kuripotiwa kupotea au kutekwa nchini humo hayahusiani na vitendo halisi vya utekaji, bali yamesababishwa na sababu za kibinafsi kama mapenzi, migogoro ya kifamilia, imani za kishirikina na ukwepaji ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com June 18, 2025 June 18, 2025
Serikali yalifuta Kanisa la Askofu Gwajima - Mwananchi
HABARI ZA KITAIFA

Serikali yalifuta Kanisa la Askofu Gwajima – Mwananchi

Dar es Salaam. Serikali imetangaza kulifutia usajili Kanisa la Ufufuo na Uzima, linalomilikiwa na Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, ikiwa ni siku moja tangu kiongozi huyo wa kiroho atangaze msimamo wake wa kuendelea kukemea vitendo vya utekaji na watu ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com June 2, 2025 June 2, 2025
Mchome wa CHADEMA avuliwa uongozi Chadema
HABARI ZA KITAIFA

Mchome wa CHADEMA avuliwa uongozi Chadema – Mwananchi Newspapers

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini kimemvua uongozi mwenyekiti wa chama hicho Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Lemburus Mchome leo Jumamosi, Mei 17, 2025. Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Ndonde Tottinan amethibitisha kuvuliwa uongozi wa Mchome ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com May 17, 2025 May 17, 2025
Polisi yakana kumkamata na kumshikilia John Heche - ITV
HABARI ZA KITAIFA

Polisi yakana kumkamata na kumshikilia John Heche – ITV

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema halikumkamata mtu yeyote katika tukio lililotokea eneo la Kariakoo, bali lilichukua hatua ya kuzuia fujo kutokana na kile kilichoelezwa kuwa kutokuwepo kwa uwanja rasmi wa kufanyia mkutano wa hadhara katika ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com April 22, 2025 April 22, 2025
Tanzania kuzuia uingizwaji wa mazao kutoka Malawi, Afrika Kusini
HABARI ZA KITAIFA

Tanzania kuzuia uingizwaji wa mazao kutoka Malawi, Afrika Kusini

Serikali ya Tanzania imesema itazuia uingizaji wa mazao na bidhaa za kilimo kutoka nchi za Malawi na Afrika Kusini kuanzia Jumatano Aprili 23, 2025 endapo vikwazo kwa Tanzania miongoni mwa nchi hizo vitaendelea. Taarifa hiyo imetolewa na Waziri wa Kilimo, ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com April 18, 2025 April 18, 2025
Urusi yatoa wito wa kusitishwa kwa mapigano mashariki mwa DRC
HABARI ZA KIMATAIFAMAGAZETI YA LEO

Urusi yatoa wito wa kusitishwa kwa mapigano mashariki mwa DRC

Urusi imetoa wito wa kusitishwa mara moja mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo), ambako kundi la waasi la M23 limezidisha mashambulizi dhidi ya jeshi la taifa na vikosi vya kulinda amani. Katika taarifa yake siku ya ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com January 28, 2025 January 28, 2025
Waandamanaji washambulia balozi Kinshasa
HABARI ZA KIMATAIFAMAGAZETI YA LEO

Waandamanaji washambulia balozi Kinshasa

Tangu siku ya Jumatatu (Januari 27), waandamanaji mjini Kinshasa walikuwa wakitoka ubalozi mmoja hadi mwengine kuonesha kile walichosema ni upinzani wao kwa mataifa ya kigeni yanayoshirikiana na Rwanda kuwaunga mkono waasi wa M23 mashariki mwa nchi yao. Balozi za hivi karibuni ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com January 28, 2025 January 28, 2025
Ujerumani yasitisha mazungumzo na Rwanda kuhusu misaada ya maendeleo
HABARI ZA KIMATAIFAMAGAZETI YA LEO

Ujerumani yasitisha mazungumzo na Rwanda kuhusu misaada ya maendeleo

Ujerumani siku ya Jumanne ilisitisha mazungumzo yaliyopangwa na Rwanda kuhusu msaada wake wa maendeleo, ikitaka vikosi vya Rwanda na washirika wao wa M23 kuondoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ilisema Wizara ya Maendeleo na Ushirikiano wa Kiuchumi ya ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com January 28, 2025 January 28, 2025
Trump yuko tayari kukutana na Putin ‘wakati wowote’
HABARI ZA KIMATAIFAMAGAZETI YA LEO

Trump yuko tayari kukutana na Putin ‘wakati wowote’

Rais wa Marekani Donald Trump amesema yuko tayari kukutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin wakati wowote ili kujadili suluhu la kidiplomasia la mzozo kati ya Moscow na Kiev. Wakati wa mkutano na waandishi wa habari katika Ikulu ya White ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com January 23, 2025 January 23, 2025
1 2
  • Tanzania yajitetea mbele Umoja wa Mataifa kuhusu matukio ya utekwaji
  • Wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi – Jeshi la Polisi
  • Serikali yalifuta Kanisa la Askofu Gwajima – Mwananchi
  • Agather (mwanaharakati wa Uganda) apatikana mpakani mwa Tanzania na Uganda
  • Wanaharakati Kenya Wakiongozwa na Martha Karua Waandikia Barua Umoja wa Afrika Wakidai Hatua Ichukuliwe Dhidi ya Rais Samia Suluhu wa Tanzania – Kenyans
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO

© 2025 habari24. All Rights Reserved.