habari24.co.tz
0
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
habari24.co.tz
habari24.co.tz
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
Home » HABARI ZA KITAIFA

HABARI ZA KITAIFA

Chalamila ataka vijana wafundushwe maadili waache kutukana mtandaoni
HABARI ZA KITAIFA

Chalamila ataka vijana wafundushwe maadili waache kutukana mtandaoni

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema anajiandaa kuwasilisha pendekezo maalum kwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ptof. Adolf Mkenda akitaka kuimarishwa kwa mafunzo ya maadili kwa Vijana ili kupunguza tabia ya kutukana mitandaoni. Chalamila ametoa ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com June 15, 2026 June 15, 2026
Heche alitaka Jeshi la polisi kuwarejesha vijana wanaodaiwa kupotea Iringa
HABARI ZA KITAIFA

Heche alitaka Jeshi la polisi kuwarejesha vijana wanaodaiwa kupotea Iringa

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche, amewasili mkoani Iringa kutoa pole kwa familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) Mkoa wa Iringa, Ibrahimu Myovela, pamoja na familia za wenzake wawili ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com June 15, 2026 June 15, 2026
CHADEMA yapata hasara ya milioni 918 kesi ya mgawanyo wa mali
HABARI ZA KITAIFA

CHADEMA yapata hasara ya milioni 918 kesi ya mgawanyo wa mali

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika amesema chama hicho kimepata hasara ya shilingi milioni 918 kutokana na kesi ya mgawanyo wa rasilimali. Mnyika ameyasema hayo leo Juni 15, 2026 katika viunga vya Mahakama Kuu ya ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com June 15, 2026 June 15, 2026
TMA forecasts cold weather strong winds and rains
HABARI ZA KITAIFA

TMA forecasts cold weather strong winds and rains

The June to August 2026 season will bring colder-than-usual conditions in July, occasional off-season rains in some regions and strong winds along parts of the Indian Ocean coastline, according to the latest outlook released by Tanzania Meteorological Authority. The authority ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com May 25, 2026 May 25, 2026
Tanzania-based Amsons Group acquire Oryx Energies in a deal estimated to be worth $250 million (over 650 billion Tanzanian shillings)
HABARI ZA KITAIFA

Tanzania-based Amsons Group acquire Oryx Energies in a deal estimated to be worth $250 million (over 650 billion Tanzanian shillings)

Tanzania-based Amsons Group is reportedly in advanced talks to acquire Oryx Energies in a deal estimated to be worth $250 million (over 650 billion Tanzanian shillings), according to a report from Geneva, Switzerland. ​ Industry experts claim that the acquisition, ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com May 25, 2026 May 25, 2026
Tanzania na Kenya zaimarisha ushirikiano wa nishati kwa mipango mipya ya biashara ya umeme na bomba la gesi
HABARI ZA KITAIFA

Tanzania na Kenya zaimarisha ushirikiano wa nishati kwa mipango mipya ya biashara ya umeme na bomba la gesi

Tanzania na Kenya zimechukua hatua kubwa kuelekea kuimarisha ushirikiano wa kikanda baada ya kusaini makubaliano mapya yenye lengo la kuimarisha usalama wa nishati, kupanua biashara ya umeme, na kuchunguza uwezekano wa kujenga bomba la kimkakati la gesi asilia kati ya ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com May 5, 2026 May 5, 2026
Spika wa Bunge amuonya Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado
HABARI ZA KITAIFA

Spika wa Bunge amuonya Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Zungu amemuonya Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado @adoshaibuado kwa kitendo chake cha kuendelea kuzungumza baada ya Mwenyekiti wa Bunge kumjulisha kuwa muda wake umeisha na kuzimiwa kipaza sauti. ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com April 21, 2026 April 21, 2026
Mbunge wa viti maalumu Halima Idd amefariki dunia akipatiwa matibabu
HABARI ZA KITAIFA

Mbunge wa viti maalumu Halima Idd amefariki dunia akipatiwa matibabu

Mbunge wa viti maalumu aliyekuwa akiwakilisha kundi la Wafanyakazi wa Sekta binafsi na Umma, Halima Idd amefariki dunia leo  Jumapili, Januari 18, 2026 akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, jijini Dar es Salaam. ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com January 18, 2026 January 18, 2026
Umoja wa Mataifa waitaka Tanzania kuchunguza mauaji ya siku ya uchaguzi
HABARI ZA KITAIFA

Umoja wa Mataifa waitaka Tanzania kuchunguza mauaji ya siku ya uchaguzi

Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Volker Türk ametaka uchunguzi juu ya mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa wakati wa uchaguzi wa Oktoba 29 nchini Tanzania, huku ripoti zikiibuka kwamba miili inachukuliwa na vikosi ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com November 11, 2025 November 11, 2025
HABARI ZA KITAIFA

Serikali ya Tanzania yajibu ripoti ya Human Right Watch ya haki za binadamu

Serikali ya Tanzania imeijibu ripoti ya Shirika la Kimataifa la Uangalizi wa Haki za Binadamu (HRW) juu ya ukiukwaji wa haki za kiraia kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, ikisema ni ya upotoshaji na uongo.   ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com October 2, 2025 October 2, 2025
1 2 … 4
  • Chalamila ataka vijana wafundushwe maadili waache kutukana mtandaoni
  • Heche alitaka Jeshi la polisi kuwarejesha vijana wanaodaiwa kupotea Iringa
  • CHADEMA yapata hasara ya milioni 918 kesi ya mgawanyo wa mali
  • BOT exchange rate USD to Tzs today June 1, 2026
  • Chaos erupts in Paris after PSG wins Champions League (VIDEO)
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO

© 2025 habari24. All Rights Reserved.

Subscribe Newsletter

Get our latest news straight into your inbox.

Please input your email address. That email is already subscribed. Your address has been added.