habari24.co.tz
0
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
habari24.co.tz
habari24.co.tz
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
Home » HABARI ZA KITAIFA » MAGAZETI YA LEO

MAGAZETI YA LEO

Urusi yatoa wito wa kusitishwa kwa mapigano mashariki mwa DRC
HABARI ZA KIMATAIFAMAGAZETI YA LEO

Urusi yatoa wito wa kusitishwa kwa mapigano mashariki mwa DRC

Urusi imetoa wito wa kusitishwa mara moja mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo), ambako kundi la waasi la M23 limezidisha mashambulizi dhidi ya jeshi la taifa na vikosi vya kulinda amani. Katika taarifa yake siku ya ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com January 28, 2025 January 28, 2025
Waandamanaji washambulia balozi Kinshasa
HABARI ZA KIMATAIFAMAGAZETI YA LEO

Waandamanaji washambulia balozi Kinshasa

Tangu siku ya Jumatatu (Januari 27), waandamanaji mjini Kinshasa walikuwa wakitoka ubalozi mmoja hadi mwengine kuonesha kile walichosema ni upinzani wao kwa mataifa ya kigeni yanayoshirikiana na Rwanda kuwaunga mkono waasi wa M23 mashariki mwa nchi yao. Balozi za hivi karibuni ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com January 28, 2025 January 28, 2025
Ujerumani yasitisha mazungumzo na Rwanda kuhusu misaada ya maendeleo
HABARI ZA KIMATAIFAMAGAZETI YA LEO

Ujerumani yasitisha mazungumzo na Rwanda kuhusu misaada ya maendeleo

Ujerumani siku ya Jumanne ilisitisha mazungumzo yaliyopangwa na Rwanda kuhusu msaada wake wa maendeleo, ikitaka vikosi vya Rwanda na washirika wao wa M23 kuondoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ilisema Wizara ya Maendeleo na Ushirikiano wa Kiuchumi ya ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com January 28, 2025 January 28, 2025
Trump yuko tayari kukutana na Putin ‘wakati wowote’
HABARI ZA KIMATAIFAMAGAZETI YA LEO

Trump yuko tayari kukutana na Putin ‘wakati wowote’

Rais wa Marekani Donald Trump amesema yuko tayari kukutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin wakati wowote ili kujadili suluhu la kidiplomasia la mzozo kati ya Moscow na Kiev. Wakati wa mkutano na waandishi wa habari katika Ikulu ya White ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com January 23, 2025 January 23, 2025
Taliban yakataa ombi la Trump la kurejesha silaha za Marekani zenye thamani ya dola bilioni 7
HABARI ZA KIMATAIFAMAGAZETI YA LEO

Taliban yakataa ombi la Trump la kurejesha silaha za Marekani zenye thamani ya dola bilioni 7

Taliban yakataa ombi la Trump la kurejesha silaha za Marekani zenye thamani ya dola bilioni 7 Kundi la Taliban wamesisitiza kwamba wanahitaji silaha zaidi, ili kupigana na kundi la ISIS-K pamoja na Jimbo la Kiislamu - Mkoa wa Khorasan ambalo ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com January 23, 2025 January 23, 2025
Kurasa za Magazeti ya leo Jumatatu January 20, 2025
HABARI ZA KITAIFAMAGAZETI YA LEO

Kurasa za Magazeti ya leo Jumatatu January 20, 2025

Pitia Kurasa za Magazeti ya leo Jumatatu January 20, 2025. Hizi apa kurasa za magazeti ya leo Tanzania January 2025. Peruzi Kurasa za Magazeti ya leo Jumatatu January 20, 2025 SOMA PIA: Hizi apa Timu zilizofuzu robo fainali klabu bingwa ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com January 20, 2025 January 20, 2025
Magazeti ya leo Magazetini leo Tanzanua Magazeti
  • Serikali yalifuta Kanisa la Askofu Gwajima – Mwananchi
  • Agather (mwanaharakati wa Uganda) apatikana mpakani mwa Tanzania na Uganda
  • Wanaharakati Kenya Wakiongozwa na Martha Karua Waandikia Barua Umoja wa Afrika Wakidai Hatua Ichukuliwe Dhidi ya Rais Samia Suluhu wa Tanzania – Kenyans
  • 📢 HESLB Yatangaza Upangaji Mikopo Kwa Wanafunzi wa Stashahada Mwezi Machi 2025 – Fahamu Kila Kitu!
  • Mchome wa CHADEMA avuliwa uongozi Chadema – Mwananchi Newspapers
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO

© 2025 habari24. All Rights Reserved.