Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2024/2025. Ligi Kuu ya Tanzania ni miongoni mwa Ligi Bora Afrika, tukianzi kwenye ushindani, ubora wa vikosi mpaka mafanikio ya virabu kimataifa mfano Simba, Yanga na Azam FC. Yanga ilifika fainali Kombe la Shirikisho ...
Ratiba ya NBC Premier League msimu wa 204/25. Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) leo imetoa ratiba ya NBC Premier League msimu wa 204/25 ambayo inaonesha itaanza kutimua vumbi Agosti 16, 2024 kwa kuishuhudia mechi moja kati ya Pamba Jiji ...
MASHINE ya Kusaga na Kukoboa Duke Abuya raia wa Kenya ambaye ni kiungo aliyekuwa ndani ya Singida Black Stars atakuwa kwenye anga la kimataifa na uzi wa kijani na njano katika kikosi cha Miguel Gamondi Yanga. Yanga chini ya Kocha ...


