Mahakama ya Kenya imesitisha utekelezaji wa makubaliano ya msaada wa afya yenye thamani ya $2.5bn (£1.9bn) yaliyosainiwa na Marekani wiki iliyopita kutokana na wasiwasi kuhusu faragha ya data. Hatua hiyo inafuatia kesi iliyowasilishwa na shirika la kutetea haki za watumiaji ...

Ligi Kuu Tanzania Bara inarejea wikiendi hii. Sababu kubwa ya ligi kusitishwa kwa muda ilikuwa ni changamoto za kiuendeshaji zilizotokana na sababu za kiusalama na miongozo yake ni kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa na Idara ya Habari na Mawasiliano ...