Kundi la maafisa wa jeshi la Nigeria linatarajiwa kufikishwa mahakamani baada ya kuhusishwa na njama ya kupindua serikali ya Rais Bola Tinubu, jeshi la nchi hiyo ya Afrika Magharibi limetangaza. Maafisa 16 walikamatwa Oktoba mwaka jana kufuatia ripoti za vyombo ...
Makampuni makubwa ya mitandao ya kijamii duniani—Meta, TikTok, na YouTube—yanakabiliwa na kesi yao ya kwanza kabisa ya uwajibikaji wa bidhaa itakayoanza Jumanne huko Los Angeles, kufuatia madai kwamba kwa makusudi yalitengeneza majukwaa yao kwa njia ya kuwafanya watoto wawe waraibu ...
Jeshi la Kujenga Taifa linawataarifa vijana wote wa Tanzania bara na visiwani nafasi za kujiunga na mafunzo ya kujenga taifa kwa kujitolea kwa mwaka 2026 ...
Mbunge wa viti maalumu aliyekuwa akiwakilisha kundi la Wafanyakazi wa Sekta binafsi na Umma, Halima Idd amefariki dunia leo Jumapili, Januari 18, 2026 akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, jijini Dar es Salaam. ...
Naibu Waziri Mkuu wa Kwanza, Jenerali Moses Ali, amefanikiwa kutetea kiti chake cha Ubunge cha Jimbo la Adjumani Magharibi katika uchaguzi wa mwaka 2026. Jenerali Ali, aliyegombea kwa tiketi ya chama tawala cha National Resistance Movement (NRM), aliwashinda wagombea wengine ...
Matokeo ya awali ya uchaguzi Uganda 2026, yalitolewa muda mfupi kabla ya saa tano usiku yanaonyesha Rais Yoweri Museveni wa NRM aliyemadarakani anaongoza kwa asilimia zaidi ya 60 ya kura zilizopigwa. Jaji Simon Byabakama, mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Uganda ...
Magazeti ya leo January 16 2026 Pitia vichwa vya habari vya magazeti ya leo Ijumaa January 16, 2026 ...
Magazeti ya leo Januari 8, 2026, Pitia vichwa vya habari katika magazeti ya leo ya Alhamisi January 8, 2026. ...
Mahakama ya Kenya imesitisha utekelezaji wa makubaliano ya msaada wa afya yenye thamani ya $2.5bn (£1.9bn) yaliyosainiwa na Marekani wiki iliyopita kutokana na wasiwasi kuhusu faragha ya data. Hatua hiyo inafuatia kesi iliyowasilishwa na shirika la kutetea haki za watumiaji ...
Maelfu ya waandamanaji wameandamana katika miji zaidi ya 90 kote Ujerumani kupinga mpango wa Kansela Friedrich Merz wa kurekebisha mfumo wa utumishi wa kijeshi nchini humo, wakiishutumu serikali kwa kuweka msingi wa kuandikishwa kwa lazima. Ijumaa, bunge la Ujerumani lilipitisha ...









