Kundi la maafisa wa jeshi la Nigeria linatarajiwa kufikishwa mahakamani baada ya kuhusishwa na njama ya kupindua serikali ya Rais Bola Tinubu, jeshi la nchi hiyo ya Afrika Magharibi limetangaza. Maafisa 16 walikamatwa Oktoba mwaka jana kufuatia ripoti za vyombo ...
Makampuni makubwa ya mitandao ya kijamii duniani—Meta, TikTok, na YouTube—yanakabiliwa na kesi yao ya kwanza kabisa ya uwajibikaji wa bidhaa itakayoanza Jumanne huko Los Angeles, kufuatia madai kwamba kwa makusudi yalitengeneza majukwaa yao kwa njia ya kuwafanya watoto wawe waraibu ...
Naibu Waziri Mkuu wa Kwanza, Jenerali Moses Ali, amefanikiwa kutetea kiti chake cha Ubunge cha Jimbo la Adjumani Magharibi katika uchaguzi wa mwaka 2026. Jenerali Ali, aliyegombea kwa tiketi ya chama tawala cha National Resistance Movement (NRM), aliwashinda wagombea wengine ...
Matokeo ya awali ya uchaguzi Uganda 2026, yalitolewa muda mfupi kabla ya saa tano usiku yanaonyesha Rais Yoweri Museveni wa NRM aliyemadarakani anaongoza kwa asilimia zaidi ya 60 ya kura zilizopigwa. Jaji Simon Byabakama, mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Uganda ...
Mahakama ya Kenya imesitisha utekelezaji wa makubaliano ya msaada wa afya yenye thamani ya $2.5bn (£1.9bn) yaliyosainiwa na Marekani wiki iliyopita kutokana na wasiwasi kuhusu faragha ya data. Hatua hiyo inafuatia kesi iliyowasilishwa na shirika la kutetea haki za watumiaji ...
Maelfu ya waandamanaji wameandamana katika miji zaidi ya 90 kote Ujerumani kupinga mpango wa Kansela Friedrich Merz wa kurekebisha mfumo wa utumishi wa kijeshi nchini humo, wakiishutumu serikali kwa kuweka msingi wa kuandikishwa kwa lazima. Ijumaa, bunge la Ujerumani lilipitisha ...
Marekani yashutumu Umoja wa Ulaya kwa “shambulio dhidi ya Wamarekani” baada ya kutozwa faini kwa X Marekani imeshutumu Brussels kwa “shambulio” dhidi ya Waamerika baada ya Umoja wa Ulaya kuutoza faini ya €120 milioni (sawa na dola milioni 140) jukwaa ...
Serikali ya Cameroon imetangaza kuwa itamchukulia hatua za kisheria kiongozi wa upinzani Issa Tchiroma Bakary kwa madai ya kuchochea machafuko kufuatia kuchaguliwa tena kwa kiongozi wa muda mrefu wa nchi hiyo ya Afrika ya Kati, Paul Biya. Jumatatu, Biya mwenye ...
Waandamanaji katika maeneo mbalimbali ya Madagascar wanataka Rais Andry Rajoelina ajiuzulu, wakimtuhumu serikali yake kwa usimamizi mbovu na kushindwa kutoa huduma za msingi, ikiwemo maji na umeme. Maelfu ya watu walikusanyika tena Jumatano chini ya mwavuli wa vijana wanaojiita ...
Mwanaharakati wa Uganda, Agather Atuhaire amepatikana leo baada ya kutelekezwa katika mpaka wa Tanzania na Uganda.Hii ni kulingana na familia yake na jamaa zake wa karibu. Agather Atuhaire pamoja na Boniface Mwangi walikamatwa pindi walipowasili nchini Tanzania kufuatilia kesi zinazomkabili ...









