
Tanzania, kupitia moja ya taasisi kubwa za kifedha nchini, imezindua kadi mpya ya biashara ya malipo (debit card) ambayo itawawezesha wamiliki wake kulipwa fidia za kifedha endapo kutatokea changamoto katika safari zao. Hii inahusisha ucheleweshaji wa ndege, mizigo kupotea au safari kufutwa. Kadi ya NMB Business Debit Card pia inakuja na bima ya kina ya usafiri. Benki ya NMB Tanzania ...