habari24.co.tz
0
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
habari24.co.tz
habari24.co.tz
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
assengablogtz@gmail.com

assengablogtz@gmail.com

Katibu mkuu mpya wa NATO aunga mkono Ukraine kutumia silaha za Magharibi kushambulia Urusi
HABARI ZA KIMATAIFAURUSI na UKRAINE

Katibu mkuu mpya wa NATO aunga mkono Ukraine kutumia silaha za Magharibi kushambulia Urusi

Katibu Mkuu mteule wa NATO, Waziri Mkuu wa zamani wa Uholanzi Mark Rutte ameunga mkono wazo la kuruhusu Ukraine kutumia silaha zinazotolewa na nchi za Magharibi kushambulia hadi ndani ya ardhi ya Urusi. Rutte aliyasema hayo Jumanne wakati wa mkutano ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com October 2, 2024 October 2, 2024
Marekani 'HAINA MSAADA WOWOTE' Mashariki ya Kati inateketea - Moscow
HABARI ZA KIMATAIFAMZOZO MASHARIKI YA KATI

Marekani ‘HAINA MSAADA WOWOTE’ Mashariki ya Kati inateketea – Moscow

Kuongezeka kwa ghasia katika Mashariki ya Kati kunaashiria "kufeli kabisa" kwa sera ya Marekani katika eneo hilo chini ya Rais Joe Biden, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi Maria Zakharova amesema, muda mfupi baada ya Iran kuzindua ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com October 2, 2024 October 2, 2024
Marekani na Israel zaonya kuhusu athari mbaya baada ya shambulio la makombora la Iran
HABARI ZA KIMATAIFAMZOZO MASHARIKI YA KATI

Marekani na Israel zaonya kuhusu athari mbaya baada ya shambulio la makombora la Iran

Marekani na Israel zinasema zinafanya kazi pamoja ili kuhakikisha Iran inakabiliwa na mashambulizi makali ya kulipiza kisasi kufuatia mashambulizi ya makombora takribani 200 hivi ya masafa marefu dhidi ya  Israel usiku wa Jumanne. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alisema ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com October 2, 2024 October 2, 2024
Israeli ilishambuliwa kwa makombora ya hypersonic ya Iran
MZOZO MASHARIKI YA KATI

Israeli ilishambuliwa kwa makombora ya hypersonic ya Iran

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa Iran ilitumia makombora ya Hypersonic kwa mara ya kwanza wakati wa mashambulizi yake dhidi ya Israel apo jana. Iran ilirusha makombora kadhaa katika kile IRGC ilichokiita jibu la mauaji ya ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com October 2, 2024 October 2, 2024
Iran ilivorusha safu ya makombora dhidi ya Israel
HABARI ZA KIMATAIFAMZOZO MASHARIKI YA KATI

Iran ilivorusha safu ya makombora dhidi ya Israel (VIDEOS)

Iran imefanya mashambulizi makubwa ya balestiki dhidi ya Israel, huku Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) likidai kuwa limerusha "dazeni" za makombora kulenga shabaha za kijeshi kote nchini. IRGC imesema shambulio hilo limekuja kujibu mauaji ya Ismail Haniyeh, ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com October 2, 2024 October 2, 2024
Jeshi la Urusi lashambulia kituo cha upakuaji cha treni ya Kiukreni – (VIDEO)
URUSI na UKRAINE

Mabomu ya kuteleza ya Urusi (Glide Bombs) yalivoshambulia viwanda vya kuzalisha drones za Kiukreni – (VIDEO)

Wizara ya Ulinzi ya Urusi imedai kuharibu hadi ndege 250 za kijeshi za Ukraine katika mashambulizi ya anga katika Mkoa wa Zaporozhye. Kulingana na jeshi la Urusi, mashambulizi ya kutumia mabomu ya kuteleza (Glide Bombs) yalilenga "warsha na ghala" za ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com October 1, 2024 October 1, 2024
HABARI ZA KIMATAIFAURUSI na UKRAINE

Jeshi la Urusi lashambulia kituo cha upakuaji cha treni ya Kiukreni – (VIDEO)

Vikosi vya Urusi vimeripotiwa kushambulia eneo la kupakua mizigo ya treni katika Mkoa wa Nikolaev kusini mwa Ukraine, na kuharibu mabehewa kadhaa yaliyojaa risasi, Wizara ya Ulinzi ya Urusi ilisema Jumatatu. Shambulio hilo lilitekelezwa kwa kutumia mfumo wa makombora wa ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com October 1, 2024 October 1, 2024
Hezbollah wapo 'tayari' kwa operesheni ya ardhini ya Israeli
HABARI ZA KIMATAIFAISRAEL NA LEBANON

Hezbollah wapo ‘tayari’ kwa operesheni ya ardhini ya Israeli – naibu kiongozi wa Hezbolaah

Hezbollah iko tayari kukabiliana na jeshi la Israel iwapo litajaribu kuivamia Lebanon, naibu kiongozi wa kundi hilo la wanamgambo amesema. Naim Qassem alitoa kauli hiyo wakati wa hotuba yake ya kwanza ya hadhara tangu shambulizi la anga la Israel kumuua ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com October 1, 2024 October 1, 2024
Mwanachama wa NATO atoa wito wa matumizi ya nguvu dhidi ya Israel
HABARI ZA KIMATAIFAISRAEL NA LEBANON

Mwanachama wa NATO atoa wito wa matumizi ya nguvu dhidi ya Israel

Umoja wa Mataifa unapaswa kuidhinisha matumizi ya silaha kukomesha vita vya Israel huko Gaza, Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan alisema Jumatatu. Alikosoa vikali operesheni ya Israel katika eneo la Palestina na mashambulizi ya anga yanayoendelea Lebanon. Takriban raia milioni ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com October 1, 2024 October 1, 2024
Majina ya waliopata mkopo awamu ya kwanza 2024/2025
ELIMU

Majina ya waliopata mkopo awamu ya kwanza 2024/2025

Majina ya waliopata mkopo awamu ya kwanza 2024/2025 Ni awamu ya kwanza yenye wanafunzi 21,509 Mikopo yao ina thamani ya TZS 70.78 bilioni Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo Jumamosi (Septemba 28, 2024) imeanza kutangaza ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com September 29, 2024 September 29, 2024
1 … 17 18 19 … 27
  • Maafisa wa jeshi la Nigeria wakabiliwa na kesi kufuatia njama ya mapinduzi iliyozimwa.
  • TikTok, Meta, na YouTube zashtakiwa katika kesi ya kwanza kabisa kuhusu uraibu wa watoto dhidi ya mitandao ya kijamii.
  • NAFASI ZA KUJIUNGA NA JKT KWA KUJITOLEA MWAKA 2026
  • Mbunge wa viti maalumu Halima Idd amefariki dunia akipatiwa matibabu
  • Uganda: Moses Ali achaguliwa tena kuwa Mbunge wa Adjumani Magharibi
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO

© 2025 habari24. All Rights Reserved.

Subscribe Newsletter

Get our latest news straight into your inbox.

Please input your email address. That email is already subscribed. Your address has been added.