Utawala wa Marekani Rais Joe Biden haujashawishika na mkakati wa Ukraine katika Mkoa wa Kursk na unahofia uwezekano wa kuongezeka kwa mashambulizi Moscow, gazeti la Washington Post liliripoti Jumamosi, likinukuu vyanzo nchini Marekani. Kiev ilizindua uvamizi wake mkubwa zaidi hadi ...
Kuvamia kwa jeshi la Ukraine katika eneo la Kursk la Urusi kumegharimu pakubwa, huku vikosi vya Kiev vikiwa na majeruhi 6,600 na kupoteza vifaru 73 katika mashambulizi yao ya kuvuka mpaka, kulingana na takwimu za hivi punde zilizochapishwa na Wizara ...
Hivi karibuni ( 19 Agosti 2024) Jeshi la Uingereza kupitia tovuti yake limetangaza kuajiri raia wa Afrika kutoka nchi za Jumuiya ya Madola ili kujiunga na vikosi vyake vya kijeshi. Jeshi hilo limesema kuwa Waafrika kutoka nchi za Jumuiya ya ...
Wizara ya Urusi imetoa video ambayo inasema kuhusu mbinu za kijeshi zinazotumiwa na vitengo vya karibu na mji wa Ugledar katika Jamhuri ya Watu wa Donetsk ya Urusi. Mbinu inayoonyeshwa inahusisha kutumia mwendo wa kasi kwa pikipiki ili kuvuka kwa ...
Shambulio kubwa la masafa marefu la anga la Urusi limeripotiwa kuanzishwa kulenga maeneo ya viwanda kote Ukraine. Kiev imeapa kujibu mashambulizi hayo dhidi ya Urusi. Mahambulizi ya masafa ya marefu yaliliripotiwa kurushwa mapema Jumatatu asubuhi na kuhusisha ndege zisizo na ...
Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus na mkurugrnzi wa Kanda ya Afrika ya WHO, Matshidiso Moeti, wanatarajiwa kuhudhuria mkutano huo unaoanza leo Jumatatu, pamoja na mawaziri 47 wa afya kutoka katika eneo hilo. Kulingana na tovuti ya Shirika la ...
Israel yashambulia maeneo 40 ya urushaji makombora Lebanon Hezbollah ilisema ilifyatua maroketi 320 chapa ya Katyusa kuelekea Israel na kupiga shabaha 11 za kijeshi katika kile ilichokiita awamu ya kwanza ya kisasi dhidi ya Israel kwa mauaji ya Fuad Shukur, ...
Jeshi la Urusi limefanya mashambulizi makubwa kwenye vituo vya nishati vya Ukraine, Wizara ya Ulinzi mjini Moscow imethibitisha. Rais Vladimir Zelensky wa Ukrainia alikiri kwamba nchi hiyo imepata mojawapo ya majanga makubwa zaidi katika miezi ya hivi karibuni, na kusababisha ...
Belarus imekusanya idadi kubwa ya wanajeshi kwenye mpaka wake na Ukraine, Wizara ya Mambo ya Nje ya Ukraine ilisema siku ya Jumapili, ikiionya Minsk dhidi ya kufanya "makosa ya kutisha." Ikinukuu ripoti za kijasusi, wizara hiyo ilisema kwamba Vikosi vya ...
Ndege zisizo na rubani za Kiukreni zashambulia nyumba ndani ya Urusi Ndege zisizo na rubani za kamikaze za Ukraine zimegonga majengo ya makazi ya Gorofa katika Mkoa wa Saratov, Urusi, Gavana Roman Busargin alisema mapema Jumatatu. Kulingana na Busargin, walinzi ...









