Israel imemtangaza Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kuwa mtu asiyefaa baada ya kutoa wito wa kusitishwa kwa mapigano kufuatia shambulio la Iran dhidi ya taifa la Kiyahudi na kulaani kuongezeka kwa mzozo katika Mashariki ya Kati. Siku ...
Katibu Mkuu mteule wa NATO, Waziri Mkuu wa zamani wa Uholanzi Mark Rutte ameunga mkono wazo la kuruhusu Ukraine kutumia silaha zinazotolewa na nchi za Magharibi kushambulia hadi ndani ya ardhi ya Urusi. Rutte aliyasema hayo Jumanne wakati wa mkutano ...
Kuongezeka kwa ghasia katika Mashariki ya Kati kunaashiria "kufeli kabisa" kwa sera ya Marekani katika eneo hilo chini ya Rais Joe Biden, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi Maria Zakharova amesema, muda mfupi baada ya Iran kuzindua ...
Marekani na Israel zinasema zinafanya kazi pamoja ili kuhakikisha Iran inakabiliwa na mashambulizi makali ya kulipiza kisasi kufuatia mashambulizi ya makombora takribani 200 hivi ya masafa marefu dhidi ya Israel usiku wa Jumanne. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alisema ...
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa Iran ilitumia makombora ya Hypersonic kwa mara ya kwanza wakati wa mashambulizi yake dhidi ya Israel apo jana. Iran ilirusha makombora kadhaa katika kile IRGC ilichokiita jibu la mauaji ya ...
Iran imefanya mashambulizi makubwa ya balestiki dhidi ya Israel, huku Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) likidai kuwa limerusha "dazeni" za makombora kulenga shabaha za kijeshi kote nchini. IRGC imesema shambulio hilo limekuja kujibu mauaji ya Ismail Haniyeh, ...
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imedai kuharibu hadi ndege 250 za kijeshi za Ukraine katika mashambulizi ya anga katika Mkoa wa Zaporozhye. Kulingana na jeshi la Urusi, mashambulizi ya kutumia mabomu ya kuteleza (Glide Bombs) yalilenga "warsha na ghala" za ...
Vikosi vya Urusi vimeripotiwa kushambulia eneo la kupakua mizigo ya treni katika Mkoa wa Nikolaev kusini mwa Ukraine, na kuharibu mabehewa kadhaa yaliyojaa risasi, Wizara ya Ulinzi ya Urusi ilisema Jumatatu. Shambulio hilo lilitekelezwa kwa kutumia mfumo wa makombora wa ...
Hezbollah iko tayari kukabiliana na jeshi la Israel iwapo litajaribu kuivamia Lebanon, naibu kiongozi wa kundi hilo la wanamgambo amesema. Naim Qassem alitoa kauli hiyo wakati wa hotuba yake ya kwanza ya hadhara tangu shambulizi la anga la Israel kumuua ...
Umoja wa Mataifa unapaswa kuidhinisha matumizi ya silaha kukomesha vita vya Israel huko Gaza, Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan alisema Jumatatu. Alikosoa vikali operesheni ya Israel katika eneo la Palestina na mashambulizi ya anga yanayoendelea Lebanon. Takriban raia milioni ...