habari24.co.tz
0
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
habari24.co.tz
habari24.co.tz
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO
Home » Archives for August 2024 » Page 4

Month: August 2024

Ratiba ya NBC Premier League msimu wa 204/25
MICHEZO

Ratiba ya NBC Premier League msimu wa 204/25

Ratiba ya NBC Premier League msimu wa 204/25. Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) leo imetoa ratiba ya NBC Premier League msimu wa 204/25 ambayo inaonesha itaanza kutimua vumbi Agosti 16, 2024 kwa kuishuhudia mechi moja kati ya Pamba Jiji ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com August 10, 2024 August 10, 2024
Ratiba ya NBC Premier League msimu wa 204/25
HABARI ZA KIMATAIFAURUSI na UKRAINE

Ukraine imevamia eneo la Mpakani la Urusi

Ukraine imevamia eneo la Mpakani la Urusi Mapema Jumanne, jeshi la Ukraine lilianzisha uvamizi mkubwa katika Mkoa wa Kursk wa Urusi, na kuvunja mpaka katika maeneo mengi. Shambulizi hilo lililenga mji wa Sudzha, ulioko umbali wa kilomita 9 kutoka mpakani. ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com August 7, 2024 August 7, 2024
HABARI ZA KIMATAIFA

Wanajeshi wa mwisho wa Marekani waondoka Niger

Wanajeshi wa mwisho wa Marekani waondoka Niger Jeshi la Marekani limemaliza kujiondoa katika kambi yake ya mwisho huko Niger, Pentagon na mamlaka ya taifa hilo la Afrika Magharibi ilitangaza Jumatatu, kuashiria mwisho wa ujumbe wa Washington wa kukabiliana na ugaidi ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com August 6, 2024 August 6, 2024
Vijana 5 waliombaka Binti kwa maagizo ya afande "Wakamatwa"
HABARI ZA KITAIFA

Vijana 5 waliombaka Binti kwa maagizo ya afande “Wakamatwa” – Masauni

Vijana 5 waliombaka Binti kwa maagizo ya afande "Wakamatwa" Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu. ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com August 6, 2024 August 6, 2024
FURSA

Tangazo la kazi MDAs & LGAs 2024 – Nafasi 6,257

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Wizara, Idara zinazo jitegemea, Wakala za Serikali, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (MDAs & LGAs) anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa ...

Posted by By assengablogtz@gmail.com August 3, 2024 August 3, 2024
1 … 3 4
  • Tanzania yajitetea mbele Umoja wa Mataifa kuhusu matukio ya utekwaji
  • Wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi – Jeshi la Polisi
  • Serikali yalifuta Kanisa la Askofu Gwajima – Mwananchi
  • Agather (mwanaharakati wa Uganda) apatikana mpakani mwa Tanzania na Uganda
  • Wanaharakati Kenya Wakiongozwa na Martha Karua Waandikia Barua Umoja wa Afrika Wakidai Hatua Ichukuliwe Dhidi ya Rais Samia Suluhu wa Tanzania – Kenyans
  • HABARI ZA KIMATAIFA
  • HABARI ZA KITAIFA
  • MICHEZO

© 2025 habari24. All Rights Reserved.