Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Therese Kayikwamba Wagner amevitaka vilabu vya soka vya Arsenal, Bayern Munich na Paris St Germain kusitisha makubaliano yao ya udhamini ya utalii kwa Rwanda maarufu ''Visit Rwanda''kwa kile alichokiita ...
Urusi imetoa wito wa kusitishwa mara moja mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo), ambako kundi la waasi la M23 limezidisha mashambulizi dhidi ya jeshi la taifa na vikosi vya kulinda amani. Katika taarifa yake siku ya ...
Baada ya usiku tulivu uliogubikwa na wasiwasi na mashaka, wakazi wa mji wa Goma, katika Kivu Kaskazini, waliamka na milipuko ya silaha nzito na nyepesi zilizokuwa zikiendelea kurindima saa sita mchana katika wilaya kadhaa, hususan Birere na Bujovu, zilizoko karibu. ...
RAIS wa Marekani, Donald Trump ameagiza kusitishwa usambazaji wa dawa za Ukimwi, malaria na kifua kikuu kwa nchi zinazopewa misaada na Shirika la Maendeleo la Marekani (USAID). Agizo hilo limetolewa leo Januari 28, 2025 huku hatua hiyo ikilenga kupitia upya ...
Tangu siku ya Jumatatu (Januari 27), waandamanaji mjini Kinshasa walikuwa wakitoka ubalozi mmoja hadi mwengine kuonesha kile walichosema ni upinzani wao kwa mataifa ya kigeni yanayoshirikiana na Rwanda kuwaunga mkono waasi wa M23 mashariki mwa nchi yao. Balozi za hivi karibuni ...
Ujerumani siku ya Jumanne ilisitisha mazungumzo yaliyopangwa na Rwanda kuhusu msaada wake wa maendeleo, ikitaka vikosi vya Rwanda na washirika wao wa M23 kuondoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ilisema Wizara ya Maendeleo na Ushirikiano wa Kiuchumi ya ...
Rais wa Marekani Donald Trump amesema yuko tayari kukutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin wakati wowote ili kujadili suluhu la kidiplomasia la mzozo kati ya Moscow na Kiev. Wakati wa mkutano na waandishi wa habari katika Ikulu ya White ...
Taliban yakataa ombi la Trump la kurejesha silaha za Marekani zenye thamani ya dola bilioni 7 Kundi la Taliban wamesisitiza kwamba wanahitaji silaha zaidi, ili kupigana na kundi la ISIS-K pamoja na Jimbo la Kiislamu - Mkoa wa Khorasan ambalo ...
Matokeo ya Kidato cha nne 2024/2025 yanatoka lini?, Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE), unaosimamiwa na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), ni moja ya mitihani muhimu katika ngazi ya elimu nchini Tanzania. Mtihani huu, unaofanywa mwishoni mwa miaka minne ...
CCM imempitisha rasmi Rais Samia kuwania urais 2025. Chama tawala nchini Tanzania, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepitisha azimio la kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadae mwaka huu. Azimio hilo ...