NAFASI 174 ZA WALIMU NA WASIO WALIMU MBEYA MUNICIPAL COUNCIL Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya anawatangazia wananchi wenye sifa kuomba nafasi za kazi ya Ualimu ya mkataba wa kudumu ili kujaza nafasi mbalimbali kwa Shule za Msingi zenye ...
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Wizara, Idara zinazo jitegemea, Wakala za Serikali, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (MDAs & LGAs) anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa ...
Nafasi za Kujiunga na JWTZ 2024 Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatangaza nafasi za kuandikishwa Jeshini kwa vijana wa kitanzania wenye elimu ya kidato channe na kidato cha sita. Aidha, uandikishaji utahusisha vijana waliopo katika makambi ya ...