🌍 Fursa ya Kujitolea Kufundisha Katika Shule za Msingi Kupitia Mradi wa GPE-TSP Je, wewe ni mhitimu wa ualimu mwenye hamasa ya kuleta mabadiliko kwenye sekta ya elimu ya msingi hapa Tanzania? Ofisi ya Rais – TAMISEMI kupitia Mradi wa ...
Biashara kati ya Urusi na Tanzania imeongezeka kwa asilimia 20 tangu mwanzo wa mwaka 2025, huku mauzo ya bidhaa za Urusi kwenda nchi hiyo ya Afrika Mashariki yakikua kwa robo, shirika la habari la TASS liliripoti Jumanne, likinukuu data zilizojadiliwa ...
Rais wa Ukraine, Vladimir Zelensky, amesema yuko tayari “binafsi” kukutana na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, nchini Türkiye siku ya Alhamisi, lakini tu ikiwa Moscow itakubali kwanza usitishaji vita. Kauli yake imekuja baada ya pendekezo la Urusi kuanza mazungumzo ya ...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU TAARIFA KWA UMMA TANGAZO LA FURSA 800 ZA AJIRA YA UDEREVA NCHINI QATAR Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa ...
TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI 2025 1.Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatangaza nafasi za kuandikishwa Jeshini kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu kuanzia elimu ya Sekondari hadi elimu ya Juu. Aidha, uandikishaji utahusisha vijana wa Kitanzania ...
🪖 Nafasi za Kujiunga na JWTZ 2025/2026 – Maelezo Kamili ya Utaratibu na Vigezo Je, unatafuta nafasi za kujiunga na JWTZ kwa mwaka 2025/2026? Kama ndoto yako ni kuwa mwanajeshi wa Tanzania, basi makala hii ni kwa ajili yako. JWTZ ...
Majina ya Walioitwa Usaili Jeshi la Polisi 2025 Mkuu wa Jeshi la Polisi anawatangazia vijana walioomba ajira ya Jeshi la Polisi kupitia mfumo wa Ajira (TANZANIA POLICE FORCE - RECRUITMENT PORTAL) kuwa usaili utafanyika kuanzia tarehe 28/4/2025 saa 07:00 Asubuhi ...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema halikumkamata mtu yeyote katika tukio lililotokea eneo la Kariakoo, bali lilichukua hatua ya kuzuia fujo kutokana na kile kilichoelezwa kuwa kutokuwepo kwa uwanja rasmi wa kufanyia mkutano wa hadhara katika ...
Serikali ya Tanzania imesema itazuia uingizaji wa mazao na bidhaa za kilimo kutoka nchi za Malawi na Afrika Kusini kuanzia Jumatano Aprili 23, 2025 endapo vikwazo kwa Tanzania miongoni mwa nchi hizo vitaendelea. Taarifa hiyo imetolewa na Waziri wa Kilimo, ...
💍 Ndoa ya Msanii Jux Yafungwa Nigeria Leo – Picha na Maelezo Kamili Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Juma Jux, amefunga ndoa leo nchini Nigeria, tukio ambalo limevuta hisia na taharuki kubwa kwa mashabiki wake barani Afrika. Taarifa hizi zimeshika ...









