Mange Kimbambi Aiburuza Kampuni ya Meta Mahakamani Akidai Meta Ilifuta Akaunti Zake Baada ya Shinikizo kutoka Serikali ya Tanzania - New York Post Mshawishi maarufu wa mitandao ya kijamii anayeishi Santa Monica nchini Marekani na mwenye zaidi ya wafuasi milioni 10, anadai katika kesi mpya kwamba akaunti zake za mitandao ya kijamii zilifutwa baada ya kampuni ya Metakudaiwa kukubali shinikizo ...

















