Chalamila ataka vijana wafundushwe maadili waache kutukana mtandaoni

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema anajiandaa kuwasilisha pendekezo maalum kwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ptof. Adolf Mkenda akitaka kuimarishwa kwa mafunzo ya maadili kwa Vijana ili kupunguza tabia ya kutukana mitandaoni. Chalamila ametoa kauli hiyo leo Juni 15, 2026 alipokuwa akizungumza na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa ...