Hizi apa Timu zilizofuzu robo fainali klabu bingwa Afrika CAF 2024/2025,  Klabu nane zilizofuzu katika hatua ya robo fainali kuwania taji la klabu bingwa barani Afrika. Hatua hii inakuja baada ya kumalizika kwa michuano ya hatua ya makundi siku ya ...

Vatikani imewapa wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsi moja (mashoga) ridhaa ya kuwa mapadri, mradi tu wataendelea kuwa waseja na kujiepusha na kuendeleza "utamaduni wa mashoga," kulingana na waraka ulilochapishwa na Baraza la Maaskofu wa Italia (CIE) mnamo Alhamisi. Waraka ...