Kikundi cha wanaharakati kinachoongozwa na Martha Karua kimeiandikia Umoja wa Afrika (AU) barua kikitaka ichukue hatua dhidi ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa madai ya kuwakamata kinyume cha sheria wanaharakati wawili: Agather Atuhaire kutoka Uganda na Boniface Mwangi ...
📢 HESLB Yatangaza Upangaji Mikopo Kwa Wanafunzi wa Stashahada Mwezi Machi 2025 – Fahamu Kila Kitu! Imechapishwa: Mei 19, 2025 Baraza la Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) limeweka wazi taarifa mpya kuhusu upangaji wa mikopo kwa wanafunzi ...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini kimemvua uongozi mwenyekiti wa chama hicho Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Lemburus Mchome leo Jumamosi, Mei 17, 2025. Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Ndonde Tottinan amethibitisha kuvuliwa uongozi wa Mchome ...
🌍 Fursa ya Kujitolea Kufundisha Katika Shule za Msingi Kupitia Mradi wa GPE-TSP Je, wewe ni mhitimu wa ualimu mwenye hamasa ya kuleta mabadiliko kwenye sekta ya elimu ya msingi hapa Tanzania? Ofisi ya Rais – TAMISEMI kupitia Mradi wa ...
Biashara kati ya Urusi na Tanzania imeongezeka kwa asilimia 20 tangu mwanzo wa mwaka 2025, huku mauzo ya bidhaa za Urusi kwenda nchi hiyo ya Afrika Mashariki yakikua kwa robo, shirika la habari la TASS liliripoti Jumanne, likinukuu data zilizojadiliwa ...
Rais wa Ukraine, Vladimir Zelensky, amesema yuko tayari “binafsi” kukutana na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, nchini Türkiye siku ya Alhamisi, lakini tu ikiwa Moscow itakubali kwanza usitishaji vita. Kauli yake imekuja baada ya pendekezo la Urusi kuanza mazungumzo ya ...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU TAARIFA KWA UMMA TANGAZO LA FURSA 800 ZA AJIRA YA UDEREVA NCHINI QATAR Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa ...
TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI 2025 1.Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatangaza nafasi za kuandikishwa Jeshini kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu kuanzia elimu ya Sekondari hadi elimu ya Juu. Aidha, uandikishaji utahusisha vijana wa Kitanzania ...
🪖 Nafasi za Kujiunga na JWTZ 2025/2026 – Maelezo Kamili ya Utaratibu na Vigezo Je, unatafuta nafasi za kujiunga na JWTZ kwa mwaka 2025/2026? Kama ndoto yako ni kuwa mwanajeshi wa Tanzania, basi makala hii ni kwa ajili yako. JWTZ ...
Majina ya Walioitwa Usaili Jeshi la Polisi 2025 Mkuu wa Jeshi la Polisi anawatangazia vijana walioomba ajira ya Jeshi la Polisi kupitia mfumo wa Ajira (TANZANIA POLICE FORCE - RECRUITMENT PORTAL) kuwa usaili utafanyika kuanzia tarehe 28/4/2025 saa 07:00 Asubuhi ...









