Rais wa Marekani Donald Trump amesema yuko tayari kukutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin wakati wowote ili kujadili suluhu la kidiplomasia la mzozo kati ya Moscow na Kiev. Wakati wa mkutano na waandishi wa habari katika Ikulu ya White ...
Taliban yakataa ombi la Trump la kurejesha silaha za Marekani zenye thamani ya dola bilioni 7 Kundi la Taliban wamesisitiza kwamba wanahitaji silaha zaidi, ili kupigana na kundi la ISIS-K pamoja na Jimbo la Kiislamu - Mkoa wa Khorasan ambalo ...
Pitia Kurasa za Magazeti ya leo Jumatatu January 20, 2025. Hizi apa kurasa za magazeti ya leo Tanzania January 2025. Peruzi Kurasa za Magazeti ya leo Jumatatu January 20, 2025 SOMA PIA: Hizi apa Timu zilizofuzu robo fainali klabu bingwa ...
Wanachama wadogo wa NATO ambao wana ndoto ya kushambulia Urusi wanapaswa kujua kwamba Kifungu cha 5 hakifai dhidi ya silaha za kinyuklia, naibu mkuu wa Baraza la Usalama la Urusi, Dmitry Medvedev, amesema. Rais huyo wa zamani wa Urusi na ...
Mpelelezi wa zamani wa Tigo anadai alifukuzwa kazi isivyo haki kwa kuibua wasiwasi juu ya shambulio la Tundu Lissu mwaka 2017. Watu wenye silaha walijaribu kumuua mwanasiasa wa upinzani Tanzania baada ya kampuni ya mawasiliano ya simu kusambaza data zake ...
Chama kikuu cha upinzani Tanzania, Chadema kimetangaza kufanya maandamano Septemba 23 katika jiji kuu la kibiashara, Dar es Salaam kuishinikiza Serikali kueleza walipo wanachama wao waliodaiwa kupotea. Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amesema, “Nimetangaza hadi kufikia September 21,2024 tunategemea ...
Vijana 5 waliombaka Binti kwa maagizo ya afande "Wakamatwa" Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu. ...
Magazeti ya leo Jumanne Julai 30, 2024 ...
Majina ya walioitwa usaili jeshi la polisi 2024. Mkuu wa Jeshi la Polisi anapenda kuwatangazia kuwa vijana walioomba ajira ya Jeshi la Polisi kupitia mfumo wa Ajira TANZANIA POLICE FORCE RECRUITMENT PORTAL, usaili wao utafanyika kuanzia tarehe 29/7/2024 hadi tarehe ...
Tanzania imepokea msaada wa nyongeza wa Yen za Japan milioni 548 sawa na shilingi bilioni 8.9 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ukarabati wa Bandari ya Kigoma baada ya marekebisho ya mikataba miwili ya msaada kati ya Tanzania, Shirika ...









