Magazeti ya leo January 16 2026 Pitia vichwa vya habari vya magazeti ya leo Ijumaa January 16, 2026 ...
Magazeti ya leo Januari 8, 2026, Pitia vichwa vya habari katika magazeti ya leo ya Alhamisi January 8, 2026. ...
Mahakama ya Kenya imesitisha utekelezaji wa makubaliano ya msaada wa afya yenye thamani ya $2.5bn (£1.9bn) yaliyosainiwa na Marekani wiki iliyopita kutokana na wasiwasi kuhusu faragha ya data. Hatua hiyo inafuatia kesi iliyowasilishwa na shirika la kutetea haki za watumiaji ...
Maelfu ya waandamanaji wameandamana katika miji zaidi ya 90 kote Ujerumani kupinga mpango wa Kansela Friedrich Merz wa kurekebisha mfumo wa utumishi wa kijeshi nchini humo, wakiishutumu serikali kwa kuweka msingi wa kuandikishwa kwa lazima. Ijumaa, bunge la Ujerumani lilipitisha ...
Marekani yashutumu Umoja wa Ulaya kwa “shambulio dhidi ya Wamarekani” baada ya kutozwa faini kwa X Marekani imeshutumu Brussels kwa “shambulio” dhidi ya Waamerika baada ya Umoja wa Ulaya kuutoza faini ya €120 milioni (sawa na dola milioni 140) jukwaa ...
🇹🇿 TANGAZO: Nafasi 5,476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi kwa Vijana wa Kitanzania – Fursa ya Kujifunza na Kujiajiri! 🔔 Utangulizi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano kupitia Programu ya Taifa ya Kukuza Ujuzi imetangaza nafasi 5,476 ...
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Volker Türk ametaka uchunguzi juu ya mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa wakati wa uchaguzi wa Oktoba 29 nchini Tanzania, huku ripoti zikiibuka kwamba miili inachukuliwa na vikosi ...
Ligi Kuu Tanzania Bara inarejea wikiendi hii. Sababu kubwa ya ligi kusitishwa kwa muda ilikuwa ni changamoto za kiuendeshaji zilizotokana na sababu za kiusalama na miongozo yake ni kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa na Idara ya Habari na Mawasiliano ...
🏛️ Tangazo la Ajira Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania – Novemba 2025 Tarehe ya Tangazo: 5 Novemba 2025 Idadi ya Nafasi za Kazi: 28 Mwajiri: Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chanzo: www.assengaonline.com Bunge la ...
Serikali ya Cameroon imetangaza kuwa itamchukulia hatua za kisheria kiongozi wa upinzani Issa Tchiroma Bakary kwa madai ya kuchochea machafuko kufuatia kuchaguliwa tena kwa kiongozi wa muda mrefu wa nchi hiyo ya Afrika ya Kati, Paul Biya. Jumatatu, Biya mwenye ...









