Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linaendelea kusimamia mkakati wake maalum wa kuzuia vitendo vyote vya kihalifu katika jiji la Dar es Salaam. Tarehe 28 Juni 2024 lilimkamata na kumuhoji kwa kina Mussa Khamis Bakari buda (30) ...
Rais wa Marekani Joe Biden amemchanganya kiongozi wa Ukraine Vladimir Zelensky na Rais wa Urusi Vladimir Putin, katika dosari ya aibu ambayo itaongeza uchunguzi juu ya hali ya akili ya Biden. Tukio hilo lilitokea Washington siku ya Alhamisi, wakati Biden ...

